MAPYA YA MUUZA DAFU WA IKULU, JE NI KOMANDO ALIYETUA NA HELIKOPTA? UKIJA VIBAYA LAZIMA NIKUKALISHE" ALIYEUZA MADAFU IKULU AONDOA UTATA KUTUA NA HELIKOPTA MUUNGANO "UKIJA VIBAYA LAZIMA NIKUKALISHE"
КОМЕНТАРІ: 1 700
@basitjuma608115 днів тому
Mnaotaka milard awakutanshe wawili hawa Gonga like
@EdwardSamson-uf1ee15 днів тому
Hatuna hata shida nao. waendelee na maisha yao na sisi tuendelee na yetu
@user-yn4di1lj7f15 днів тому
Mnachekesha nyny ndo nn ah 😅😅😅😅😅😅😅😅 upumbavu tuu hii nchi
@modekaijames14 днів тому
@@EdwardSamson-uf1eeewaaaah
@davisjuma588714 днів тому
haiwezi tokea ata sikumoja kiukweli
@user-hp7rx4zk4t14 днів тому
Niyeye uyo mmoja
@AlhajiIssa-jb9hr15 днів тому
"ASKARI HACHAGUI KAMBI " pigia mstari hilo neno halafu twende sambamba na muuza madafu ikulu.
@janetdundul385814 днів тому
😂😂😂😂😂😂
@zainabzain343414 днів тому
Wanakuwaga hata vichaa mitaa muhimu hivyo yote yanawezekana
@siaammo110414 днів тому
😅😅😅😅😅
@VeronicaAdam-lx8yd14 днів тому
😂😂😂😂😂
@user-vh7ll3vp7w14 днів тому
Huyu jamaa Nyota yake inahitaji ikamilishe kusudi la Mungu Mh. Rais ampe tuuu nafasi'
@Amani-kr9ln15 днів тому
Tunao tamani huyu jamaa akutane na yule comando tujuane hapa kwa like jamani
@user-bo2ry2dy7x13 днів тому
Kweli ili tuamini
@MussaMugumnyi12 днів тому
j@@user-bo2ry2dy7xñdztþźc, d3e22&8i
@athumanikadaika58179 днів тому
yaani hajikutanishe mwenyewe aaah bado sijaelewa 🤣🤣🤣
@allidehunter322315 днів тому
Security top ukija vibaya lazma uka, Askar hachagui kambi, Raisi ajione yupo salma sanaa (kwa maana ya kwamba kila kona wapo) lugha ya mazungumzo inajielezaa - JAMANII SIO YEYEE ILA NA YY NI MIONGONI MWA WALIOMOO-. 2lio pata mafunzo ya kizalendoa JKT naomba tujiane kweny LIKE APOOH👇.
@MahmudSaidy13 днів тому
Huwez elewa kama haujasoma fasihii 😂😂😂
@samboy503313 днів тому
Komando huyu
@sweetrayuzuwiya837513 днів тому
Bado hajasema, kwa nini auze madafu ikulu na kwa nini yupo fiti kiasi hicho na kwa nini afanane na komando kama mapacha na kwa nini yupo flexible kwenye pikipiki kiasi hicho?
@user-yb5hh9mr5q13 днів тому
Tulopita jkt kauli kama hizo zipo kwa maafande ,Chengne muuza madafu gan wa nchi gan anaeweza kuongea kauli za kishujaa kama hvyo
@Askari2212 днів тому
@@sweetrayuzuwiya8375aiseee
@manp909115 днів тому
Mnao taka Millard ayo aende kwa comando mpo gonga like hapa
@user-xy6ed7ve6r15 днів тому
Sio aende tu, waitwe wote tuwaone kama ni watu wawili tofauti
@magneticofficialtz15 днів тому
Akienda bila gadi ataambiwa akoroge mike iwe uji halafu anywe😅😅😅
@amiibinam777415 днів тому
😂😂😂😂😂
@salimmalaka25615 днів тому
@@user-xy6ed7ve6rMILAD AYO MUWONGO WAWEKWE PAMOJA MDIO TUTAMUAMINI
@Ndenza15 днів тому
@@user-xy6ed7ve6rwewe ndo una skil
@mugishamajeba962815 днів тому
mnao taka Millard ayo aende kwa comando tujuane kwa kugonga lake
@presidentofafrica.503813 днів тому
muuza madafu , anauza madafu hadi anapata hela ya kwenda kulipia chuo cha karatee.., tunaolewana vzr gonga like😁
@jessemadullu222612 днів тому
Ha ha ha! Jamaa wanatuona watoto Sana! Tanzania ya gizani imeshapita! Hatujui kusoma sawa, Ila picha tunaona. Muuza madafu wa kawaida hana ubavu wa kuongea hivi. Anajua zimamoto, FFU, polisi etc.
@IbrahimMohamed-of3sl7 днів тому
Na ana bodaboda
@rahmamukhtar52115 днів тому
Safari hiyoooooo Majaliwa mwingine huyooooooo Nchi hii ALLAH akiamua kukutoa kwenye Hali Moja kwenda juu hakuna wa kuzuia
@abdillahiabdallah753015 днів тому
mhhh nchi yoyote mungu akiamua kukuinua
@simonbura789015 днів тому
Huyo ni komando, na yule wa jirani yake pia anaitwa captain paul Elias, kama mlifatilia maonyesho jana ndo alimtaja kama kiongozi wa wale makomando
@joycekaguo847614 днів тому
Akai hapo
@johnmwandu211614 днів тому
@@joycekaguo8476yaan mtu wa usalama mnaweza mkawa mnaishi naye sehemu moja na mkawa mnachakarika naye mtaani
@Askari2212 днів тому
@@johnmwandu2116 hii Nimecheka sanaa
@plukeria60011 днів тому
Hqhah
@ezevisionmediastudioezevis785510 днів тому
@@johnmwandu2116 na kama ni demu anakupa na mzigo kabisaa
@talents793415 днів тому
Mmemsikia akisema "Hii ni security Top hazipitiki Njia" kwa wanaojua Hii ni kauli ya kijeshi jeshi
@tamisiliwano529115 днів тому
kwel kaka maana wana vibao vyao pia huwa wanaadika kuwa hakuna njia Amri😂
@nurumwangoka592415 днів тому
Na hapo wala sio kwake anazuga
@anoldmmari-mi7qg15 днів тому
Ni sawa ila hizo quote anazotumia zipo kwenye wimbo wa Dizasta vina Tribulations diss track
@AbcD-bn1nz15 днів тому
@@tamisiliwano5291😂😂
@peternguma918215 днів тому
Iyo anamaanisha, security ya juu ya kulinda mipaka
@CyprianBCTanzania15 днів тому
Wakati wa Mungu kumketisha Mtu juu na Wakuu ukishafika basi amini imekuwa, Bila shaka kabisa ndio wakati wake huyu ndugu yetu kutimia ndoto yake katika maisha na hakika kupitia vinywa vya Watu pia hata kupitia tukio la kufananishwa na moja ya Komando wa JWTZ hii naiona kabisa katika jicho la KiMungu tiki kubwa na tayari imekuwa na zaidi ajiandae tu kupokea maana tayari fursa imeshamfikia mlangoni mwake.
@oprahpelle253110 днів тому
AMUAMINI BWANA WETU YESU KRISTO
@DStvTz.15 днів тому
Hana ndevu na commando Hana ndevu kama umegundua hili ebu gonga like tujuane
@frankdionis770014 днів тому
Anaweza kuingiza sana sela
@mussamussa944614 днів тому
aliyekwambia komando hana ndevu ni nani, KOMANDO anaweza kuwa vyovyote kulingana na mazingira na hali
@amonymzawaaa893414 днів тому
Umenipa akili😂
@jabiryyunus978214 днів тому
Makomando wana ndevu kama Osama sasa kama hujuii
@Denis_prudence13 днів тому
@@jabiryyunus9782 unachosema ni kwel kaka ila huyu jaamaa anamaanisha komandoo aliyeshuka kwa helikopta siku ile hakuwa na uchebe na huyu wa hapa hana uchebe..
@josephevaristi892313 днів тому
Walioshtukia jamaa ni muuza madafu wa mchongo, 👇
@issakimvuli209915 днів тому
Inawezekana ikawa co yy,lkn yupo ndani ya system kwa mtazamo wng!
@Raymrash15 днів тому
hata mimi naamini hivyo..kwenda kuuza madafu ikulu sio jambo dogo
@itstwinshi217915 днів тому
@@Raymrash nenda kizembe, ukijua ni ordinary muuza madafu 😂
@MarthaTraceFrancis15 днів тому
Jamani ni yeye uyo msidanganywe
@AbcD-bn1nz15 днів тому
@@itstwinshi2179😂😂
@1stladyafrica40215 днів тому
@MarthaTraceFrancis kabisa ni yeye bana hivi hata macho yanashindwa kuona kweli?
@SamwelAngelile15 днів тому
Hiyo ni code..watafutwe ili wakutane hiyo ni zuga zuga baada ya mda uyo atapoteah na kurud kambin kwake
@ramadhanfadhil178612 днів тому
Anafanyiwa na uhamisho kabisa
@AYUBPAULMWANGOKA14 днів тому
Kama nakosoa nitasifia pia. Hii ndyo Kazi ya Millard Ayo TV sio ule umbea siju aliposti mtandaoni mtapoteza uaminifu na Nita mshauri bosii wanotuletea udaku WA mtandaoni Awafukuze Kazi Umefanya Kazi nzuri Sana bro nitamshauri boss aongezo kipato chako usithubutu kutuletea udaku!🎉🎉🎉🎉
Anajitahidi kuongea kwa kujiweka ndani lakini anajishtukia!
@dicksonmgoga-hj4im15 днів тому
Nchi yangu naipenda sana, watu wake wanalala muda wanaotaka, kuna watu wanafanyakazi muda wote! Tuendelee kulinda nchi yetu kila mmoja!
@vitalismushi185814 днів тому
Huyu atakuwa anafanya kazi muda wote. Kulala kwake ni kwa machale sana. Commando kutokulala kwa siku kadhaa ni jambo la kawaida kwao.
@dicksonmgoga-hj4im13 днів тому
Watu wa hivi tunao wengi Sana, ndo maana kitu chochote kinapotokea kinachohatarisha nchi ni haraka Sana kukidhibiti! Pia alimhakikishia Mama Samia atembee kifua mbele Kwa jeshi letu liko macho!
@user-fs7xc2bb5d13 днів тому
Allahuma Amin
@HanceBablo-ot8sz15 днів тому
God bless you guy
@user-hq9le5wd9g13 днів тому
Huyo jamaa ni jirani hapa maweni. Hata mimi kabla ya hizo trend nilikuwa namuangalia sana tu maana mambo yake ni ya kijeshijeshi halafu ni mwepesi balaa , mimi naamini huyo kama siyo yeye basi anatokea huko labda ni mpelelzi wao au ni adhabu kapewa akae kitaa kwa siri
@pascalvitalis15 днів тому
Security top hazipiti njia, askar achagui kambi, afu mwamba hacheki😂😂😂 i love Tz🎉
@shufaahmmmohamed183315 днів тому
Umeelewa had ongea yake mmmh huwa hawasemi bana mi bado naona anakitu ndan yake
@baloz897415 днів тому
Ndio hivyo
@mad006011 днів тому
Kackilizeni nyimbo za Dizasta vina..... mtaelewa
@shedrackshaibu198615 днів тому
Leo anaongea tofaut na mwanzo mwanzo alikuwa anaongea kiha saiz anaongea vizur
@pulikisia796315 днів тому
Afu ni kweli.
@laylatmlacha472914 днів тому
Nimeliona hili
@amonymzawaaa893414 днів тому
😂😂😂😂
@HadiaMohammed-ec2dn13 днів тому
Kbx yn
@boniphaceemmanuel660410 днів тому
BAADA YA MIAKA MIWILI MTANIPA MAJIBU, ""acheni kuchokonoa nchi""
@bensonmasanja986214 днів тому
Hiyo kofia naijua hongera Ndugu
@keagleeagle8218 днів тому
Hii kofia nili search hadi mtandaoni. Nipe siri Maana imefanana na ya huyo commando
@oshaimuafrica839815 днів тому
Gonga like Kama unamkubali komando chapu hapa tiwazidi wote humu
@jastinj.joseph757715 днів тому
Huyo ni afsa wa serikali
@achouraachoura576315 днів тому
Dunia wawili kweli... Tunaomba uyu kijana awezeshwe...atafika mbali anakitu....mama yetu .SAMIA. SULUHU HASSAN TUNAKUOMBA. inua kipaji cha uyu kijana wako.....NA MNGU. AKUBARIKI📌🙏
@bensonmasanja986214 днів тому
Yeah God bless you
@nsuriitv246815 днів тому
HONGERA SANA MILARD AYO KWA KUFIKISHA SUBSCRIBERS 5ML
@user-yn4di1lj7f15 днів тому
Asifikishe Kwa upumbavu 😅😅😅😅😅😅
@Elisha-qn8rc15 днів тому
Namba yako nimeisave nitakutafuta komando wangu❤🎉
@user-sg6lc4te4o13 днів тому
Utaskia namba unayopiga kwa sasa haipatikani
@user-id7lc7tk4d15 днів тому
Muuza madafu ajieleze vizuri namna iyo ata hakosei
@rukaka_jr451415 днів тому
Ni yeye
@user-sj3wf5vz7l15 днів тому
Kuna jamaa mmoja alikuwa secrets office. Akitoka nyumbani anatoka na suti bag ya lap top na gari. Sasa kuna rafiki ya mke wake akamwambia mbona anamwona mtu posta ni kichaa anafanana na mume wake? Huyo dada alishtuka mume wangu kuwa kichaa. Yule dada ilibidi waongozane naye kwenda posta. Walipofika waliona jamaa kichaa anafanana na mume wake. Basi walichukua baunsa wakamnyakua wakampeleka nyumbani wakamweka store. Wakaa kusubiri kama mume atarudi nyumbani mpaka saa tano za usiku alikuwa hajarudi. Baadae yule bwana kichaa alibidi aseme ukweli kwamba alikuwa kazini.
@magrethhillary544915 днів тому
Duuuh
@fatmamdihiri416415 днів тому
Ndio zao Kuna rafiki yangu namjua vzr ndio kazi zake ivyo😂😂😂lkn kanambia ni sisemi watamuhua sababu Ana fichua siri za watu wengi
@magrethhillary544915 днів тому
@@fatmamdihiri4164 kheee sas ua anapata faida gani
@rasnchimbi15 днів тому
😂😂😂
@EdwardSamson-uf1ee15 днів тому
kama huyoo secret service alishikwa mpaka na baunsa na kwenye usafiri akapelekwa basi alikuwa mzembe sana
@sistertrashid248815 днів тому
Mimi watanzania na wa amini Sana kwahiyo wengi wamesema ni yeye Aya na mimi nasema ni yeye😅😅😅
@oman1oman17915 днів тому
😅😅😅😅😅
@user-bh4up3dg5m15 днів тому
Sio yy
@zainabzain343414 днів тому
Namie pia ni yeye maana sio kwa mfanano huu
@edwardouma163015 днів тому
Uyo jamaa ni usalama wa taifa asikudanganye by fossil nikiwa Nairobi Kenya
@kennedyodera755514 днів тому
Kweli kabixa
@thadeusmarkiminja228215 днів тому
Kama ni komandoo na anauza madafu nampongeza anafanya kazi nzuri hongera sana bwashe
@mohamedmfaume54088 днів тому
KWELI HUYU NI CHUMA
@collinstemba604015 днів тому
Huyu yupo kwenye system 😮
@1stladyafrica40215 днів тому
Kabisa ndo yeye
@wemakalama645814 днів тому
Ni spy maybe anachunguza kitu mhh kazi ipo
@graysonjohn108014 днів тому
@@wemakalama6458 mnamwonea tuu
@RichWise67115 днів тому
Lakin Hii ni Security Top hazipiti njia 🔥🔥🔥
@scorasticaclement630815 днів тому
Nomaaaa
@peternguma918215 днів тому
Maana ni kwamba mwanajeshi wa juu wa kulinda mpaka
@mulanmike199714 днів тому
top shelf 🌋
@MfaumeRamadhani-wm9gi14 днів тому
Hi ni lyrics ya moja ya wimbo wa dizasta vina anatumia kujimwambafai 😂😂😂
@vicentmichael502815 днів тому
Ukiskiliza interview vzr utaelewa
@faizaahamd205215 днів тому
Mama samia msappoti huyu kijana anaweza 💗
@susanmshindo759315 днів тому
Maana Mama mwangalie Kama sie yeye basi muwezeshe Mama yetu
@ezrommkambati155413 днів тому
Mara ngapi?
@merrynancesimon156215 днів тому
Komando Kama komando picha limeanza ❤❤❤❤❤❤❤❤
@YAHAYAMTOO15 днів тому
Mmmmh bwana watu ao nawajua vizuri umeona ilo buti na staili zake
@saidihamisi494913 днів тому
Mungu anatisha! Duniani wawili wawili Bora mwenzetu wapili yake yupo hapo hapo. Wewe Sasa wapili wako marekani.
@alicksinkamba340114 днів тому
Zingatia neno mama Samia awe na Aman kabisa Kwa lile jeshi aliloliona pale
@christophermgaya467015 днів тому
Muuza madafu anafanya mambo yote ya kikomando. Enewei😅😅😅
@majaliwamussa926815 днів тому
Watu wawili tofauti, mapua
@user-mb2iq8ht3c15 днів тому
Anamsikiliza sana Dizasta vina
@user-fs8kl1gd7u15 днів тому
Cha kwanza kabisa suruali aliyovaaa angalia kwa umakini ndo utajua.pili buti alilovaa tatu mazungumzo yake.nne yupo fitness kabisa huyo yupo kwenye sesytem
@AZAM_MEDIA15 днів тому
Wa kwanza
@MichaelJames-tp6co15 днів тому
Baas yule komandoo tuombe nayeye awepo kwenye interview na huyu nae awepo😂😂
@salimmalaka25615 днів тому
HAPO SAWA
@annodaboy15 днів тому
😂😂😂
@GloryMbwambo15 днів тому
Sindo huyo
@GloryMbwambo15 днів тому
Acheni kujichanganya ndo huyo huyo wee huon maneno yake Ni kejeli
@ramadhanimtetu365615 днів тому
Waje Wawili wote tuone 😂😂😂😂😂😂😂
@Y.D.c.p15 днів тому
Alie beba namba ya comando, gonga like yako hapa chini
@josephandrea826615 днів тому
Jukumu la kulinda amani na kudumisha umoja ni la kila mtu . Rais Ajiamini yupo mikono salama
@baloz897415 днів тому
Umesoma hizo kauli
@rukiamkali209115 днів тому
Hio ni kauli ya kujua kua huyo ni mtu wa............
@barakakomba608712 днів тому
Kaka hizo lugha za watu wa hitifaki umetisha kwa kugundua hilo 😅
@ajoseph3110 днів тому
Apo me mwenyew ndio nlistuka..
@user-zw4tf5os8b6 днів тому
Kauli ya kiume hiyo, huyo mwamba ndo yeye
@ramadhanisalum389815 днів тому
Ogopa sana mungu na teknollj
@Ablahisaid15 днів тому
Huyo alikua asijioneshee yengelikua vizr zaid
@user-bh4up3dg5m15 днів тому
Sio yy wamefanana tu
@kiuje15 днів тому
Kwanza mlitakiwa mitumie akili mboni aombi msaada😂
@charlessomi250612 днів тому
Asijioneshe aache kufanya majukumu yake kisa watu watamuhisi kua yeye n komando, halafu majukumu yake akayafanye nani
@HamadAlex15 днів тому
Hongera Millard you're now halfway to get another UKposts button
@raulianraphael685311 днів тому
Upo vzr Madafuboy kaz nzur Nimshaur kitu Achana Na Interview Piga kaz Kua nje ya Camera Kitengo watakuekea kitengo maalum so Kua makini Siri ibaki Sirini Mtaji utaongezewa na majukumu utayatimiza
@MichaelJames-tp6co15 днів тому
Sawa kaka tuendelee kuuza madafu yetu,
@joshuajohn266815 днів тому
Jamaa anakofia moja ya buku jero ila boot la laki na nusu
@Bruno4cus15 днів тому
Kawaida iyo Boss si alikuwa mlinzi
@user-pt4ts3ho3g15 днів тому
😂😂 umeona
@innocentlusajo930315 днів тому
raia mkakamavu!! jah bless man one day yes
@NathanJulius-jv4dw14 днів тому
hahahahhahahaha umeona eeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
@SamsonGamba-lk6qx13 днів тому
😅😅😅😅😅😂😂😂😂
@HusseinBio13 днів тому
Nakubali San mwamba
@twiseghekisilu884515 днів тому
Wapo tofauti kabisa,
@latifamuhunzi406114 днів тому
Na hasa ukiangalia pua zao ndio utaona utaona tofauti zao,ila wa bongo wakisha shupalia jambo si ujuwaga
@VummyEdward15 днів тому
Niyeye ila akiwakazini anajisafisha vizili namafuta mazuli naakiwa kitaa ana kua lafu Ili wasimjue tenauyo nimpelelezi waki kesho nawana mafunzo yakuweka miiliyao tofauti tofauti kulingana na mazingila aminini nawaambia
@sengiyumvaathanas881515 днів тому
Security top hazipiti njiaa, ukija vibayaa lazima nikukalisheee sijui mnaelewaaaaaaa😀😀😀😀
@twahambowe44015 днів тому
😂😂😂😮
@kasukukasuku389615 днів тому
Yap security top lugha za kijeshi izo
@audaxbizimana808415 днів тому
😅😅😅😅😅😂😂
@radhiaomary559115 днів тому
Mm naamgalia logo ya kofia yake tu😂😂atakua jasusi huyo
@aryanamendes870015 днів тому
😅😅😅😅
@user-mb2ek2ds1h14 днів тому
Jmn mama Samia sema neno bas kama sio yy mpe nafas jmn
@samboarnold61115 днів тому
Usafi (ndevu ), nidham ya maneno, confidence ... Una juaje mixed martia art ( combat)
@jacquelinesangau476715 днів тому
Ni yeye huyohuyo tu
@HusnaSimbila15 днів тому
securuty top haipiti njia
@aishafrancis771415 днів тому
Hapo mngemfuata huyo mjeda na yeye ukweli ungejulikana huyo ni yeye anacheza na akili za watu
@IdarousPossy15 днів тому
Sas unasema ni yey unauhakik?kuliko yeye anaejisemea?kwamba wewe ndio unajifanya unamjua sana au khaaa achen kulazmisha vitu ambvyo huvujui chizi wewe
@SaidiAmiri-qv5ed15 днів тому
Huwa hawaonekani ovyo,utampatia wapi hahahahhahahahha makomando
@naah88415 днів тому
Sasa kama ni yeye itakusaidia nn
@SaraMathew-xd2vp15 днів тому
Ten itakuwa vzuri kama wakitutanisha nao wote wawili ili tulizike
@baloz897415 днів тому
Usikatizie rizki yake tumpigie kampeini achukuwe jeshini
@SurprisedMacawBird-qh7dg13 днів тому
WELL DONE
@catherinecostantino203414 днів тому
Pia tofaut
@DpN-rk8xz15 днів тому
Mpeni kazi huyu kijana naeeza anania halisi Rais sikilia ombi huyu kijana
@user-pb1ug4zr1j15 днів тому
Watu kama hawa wanakuaga wazalendo kwny kazi
@talents793415 днів тому
Apewe kazi mara mbili??
@dreamleague-uq2gx15 днів тому
Apewe kazi gani nyengine😊😂
@Denis_prudence15 днів тому
Apewe kazi mara ngapi tena jamaaam?
@daudiissa925615 днів тому
Kwei bhana aajiliwe tena
@Raysam-ki1rc15 днів тому
Aliona A12 agonge like chin hapo
@user-qx6mm2lp2b14 днів тому
😂😂😂 safi sana nimependa mwamba huyu..yes huyu by mm ndiye yule ila taratibu haziruhusu kusema yess cz apo anakaz maalum..na yess be kwanza anahusishwa na yule mwamba alie kua muungano day.pili ana vitu vingi vinavyofanana na sifa ya komando mwenye mazoez maalum pia naye anyone mfano fighting skills..na sura plus mophology yan muonekano wanafanana so conclusion yess ndie..usalama wetu wa yaifa uko vzur safi sanaaaaa..❤❤❤❤❤
@pendosospeter480710 днів тому
Huyu ndo yeye ❤❤bhana
@edwardouma163015 днів тому
Uyo ni usalama wa taifa ata mazungumuzo ya ni usalama wa taifa by fossil nikiwa Nairobi Kenya 🇹🇿💪
@sadikidaudi46015 днів тому
Ukiona tupo sarama kunawatu wanapambana kwa ajili yenu
@muzzoonlinetv744615 днів тому
Respect
@charlesmaestro109215 днів тому
Respect true patriots
@bulugubujashi637815 днів тому
True respect sana
@mohamedmfaume54088 днів тому
KWELI KAKA
@LandrickMtuimara-mb7hl15 днів тому
anamsikiliza sana @dizastavina 🎉🎉
@joshuanassary507215 днів тому
Kauli zake ni tata, very technical...
@AllyMaya-yj3xd14 днів тому
Umeona eeeh kazi ya kulinda amani kudumisha umoja ni kazi ya kila mtanzania haya ni maneno ya kitaalam kabisa😂😂
@comradejonasrwegoshoramwal572715 днів тому
Good interviewer
@CuteMaryam81815 днів тому
Nikiangalia pua zao kama tofauti kidogo au itakua ni pacha wake 🤔🤔
@wamisangi280115 днів тому
Na mustachi kwa mbali. Uko vizuri.
@lightnessmsuya317014 днів тому
Au Mama yao alizaa pacha mmoja akapitea enz hzo ila najiuliza tu maan mmh
@edwinalexander117015 днів тому
Sasa wahojiwe wote wawili wakiwepo pamoja ndo tueze kuelewa vizuri.
@user-kg2tm2eq7q14 днів тому
Swadaktaaa umenena
@reubensileke171314 днів тому
Wewe siri kama hizi haiwezi tokea hiyo
@edwinalexander117014 днів тому
@@reubensileke1713 Hahahaha hii nchi unaweza kukuta mtu anauza makaa ukiona hana hata wateja, lakini bado anakomaa na makaa kumbe sio mwenzetu.
@IbraMedan3 дні тому
Noma
@wilget10915 днів тому
Siye kabx sema wamefanana tu🙌
@dicksondkaganga129015 днів тому
He is very bright. Kama siyo Askari basi mama mwangalie huyu kijana!
@susanmshindo759315 днів тому
Yap! Kabisa kasoma mwelewa Yuko poa atatufaa ki kazi
@ezrommkambati155413 днів тому
Ampe mara ngapi mbona wabongo vilaza sana?
@stivejayngoga140315 днів тому
Jamaa siyo yeye!! KWASABABU; 1.Huyu jamaa anavindevu(sharubu) yule komando hana kabisa 2. Muundo wa Pua huyu anapua ndefu kuliko yule komando
@ibrahtv559214 днів тому
Duuu yaa wee jamaa😂
@bullahrwabatika80148 днів тому
Wauza madafu huwa wana visu vikali saaana vya Likatia madafu rais alienda kununua madafu bila bodyguard yoyote hii inawezekanaje?
@damaka_15 днів тому
Nchi yetu ipo salama❤
@ObedMaturo-bd2zr15 днів тому
Huyu jamaa muongo, yaan upate hel yakununua pkpk alaf ukose hela ya pango😂😂😂
@charlesmashaury189815 днів тому
Mwambieni atuache tumegoma kukubali kuwa yeye sio kitengo au commando
@gloriadaniel382715 днів тому
Huyo ana kazi na mshahara Mkubwa🤓🤓
@ramadhanikashimbiri485115 днів тому
Najarib kuunganisha dots kwann atrend kwa madafu , mara komando alaf mwisho ni mpambanaji mashuat, boxing hapo ngoja
@menalikechildren883615 днів тому
najiukiza hivo pia
@johnmwandu211614 днів тому
Yaan umejiuliza km Mimi, yaan hizo dots ukiziunganisha unamalizia kwakusema "NI YEYEEEEEEEEE"😂😂
@CharlesNdege-om5oe11 днів тому
Kwa maneno ya huyu jamaa yanayohusiana na uzalendo pamoja na code za mambo ya usalama na ulinzi hapa ni( ,,,,,,) ngoja nisimalizie tu. Cha kumalizia niseme tu Kamanda hachagui kambi unaweza kuona ni kichaa barabarani kumbe ni Afisa upelelezi 🏃♂️🏃♂️🏃♂️
@hassanmasoud789115 днів тому
Uyu msenge kauli zake tata sana yn kumamake kuna usoldier ndan yake
@soundmale14 днів тому
Haha😂 we tukana2 atakupasua😅
@suzymichaely693813 днів тому
Atakukamata ukauze nae madafu ikulu😂😂😂😂😂😂😂
@official_vanchaz15 днів тому
Sasa Captain kashawaambia kabisa "hii ni SECURITY TOP HAZIPITI NJIA" bado mmekaza fuvu tu acheni UNANGA Ohoo!!
@khadijamisayo747615 днів тому
😂😂😂
@theprincejr141715 днів тому
Unanitukan wakat unajitukana😂
@theprincejr141715 днів тому
Unamtusi dada angu, ambae ni dada ako pia 😂
@DavalsonMarlony14 днів тому
hahaha
@abubakarjabir313214 днів тому
Dizasta vina ana mashabiki wengi sanaa
@EdifonceSylvester15 днів тому
Angalia hayo macho mzee hyo ni hatari sana
@faustinedeogratias433715 днів тому
Ntaamin siku nkiwaona ote ktk interview ya pamoja
@rukiauwonde706215 днів тому
TATIZO SURA MZEE BABA HUCHEKI MIE SITAKI KUAMIN KABISAAA KAMA MTU WA KAWAIDA 😅😅😅 MIE NIKIKUONA NITAPITA MBALI 😅😅
@azizaaziza799615 днів тому
😂😂😂😂😂wewe Wacha woga 😂😂😂 kua na karibu nae
@rogerstarofficial15 днів тому
Huyu kashajua watu wamemjua sasa inabidi haendelee na kazi yake ya usalama inabidi ajifanye watu wawili tofauti 😂 alafu kumbukeni media ya millard ayo inasimamiwa sana na serikali maana isingekuwa rahisi millard kumpata huyo jamaa
@user-do4md7jo6x15 днів тому
😂😂😂😂
@hasnakid15 днів тому
😂😅😅
@1stladyafrica40215 днів тому
Na siku si nyingi atapotea atahama hapo anapoishi na ndio mwisho wa kazi yake ya uswahilini sababu ameshatambulika.
@kenedyjoram827615 днів тому
Ni yenye
@Mwanah2715 днів тому
Niyeye kweli mbona kila akiulizwa kuhusu mambo ya kuwa mjeda ana support sana
@Gabriel-xf6fg14 днів тому
Kwa jinsi anavyo jieleza kwa ufasaha anaweza kuwa niyey
@allidehunter322315 днів тому
👏
@wanzakleruu864815 днів тому
Kodi inakushinda huna simu kubwa lakini unamiliki boxer😅😅
@hildagabriel100315 днів тому
Pengne hatakiwi kujionesha km huma
@IdarousPossy15 днів тому
Acha kukalili maisha kwamba unamjua sana au?kwamba hio boxer ulimnunulia wewe yani useme yake?acha ufara na ushamba
@user-ex9sd8wm4l15 днів тому
😂😂😂😂😂😂
@mathiasmaguzu890215 днів тому
Hapo sasa
@rumdeesonsoa181115 днів тому
Hiyo ni kawaida wewe ndio mshamba
@smarteventtv2329 днів тому
Huyu, anafaa apelekwe ata urusi watampokea sana, na mshahara mkuu pia nchi yetu itapata experience modern war
@CharlesNdege-om5oe11 днів тому
Huyo ndiyo huyo Komando na suala la kuwa pale Ikuru ni suala la kulinda usalama na upelelezi wa watu wabaya waingiao ikuru, Trust me guys
@gilbertkalanda935415 днів тому
Huyu mwamba alitakiwa kuwa kwenye vyombo vyetu sema ndio Ile.......